16 lines
432 B
Markdown
16 lines
432 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anawaambia maadui wa Babeli namna ya kuvamia.
|
|
|
|
# yeye anayetumia mundu wakati wa mavuno.
|
|
|
|
"Mundu" ni kifaa kinachotumika wakati wa kuvuna nafaka. Bwana anasema kuwa kupanda na kuvuna hakutakuwepo Babeli.
|
|
|
|
# Kila mtu arudi kwa watu wake ... warudi katika nchi yao
|
|
|
|
Maneno haya yanasisitiza kuwa wageni waende Babeli.
|
|
|
|
# toka kwenye uoanga wa mtesi
|
|
|
|
Neno "upanga" linamaanisha adui ambao wataivamia Babeli.
|