24 lines
483 B
Markdown
24 lines
483 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu kitakachotokea Edomu.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Kuwa makini"
|
|
|
|
# Kama simba
|
|
|
|
Hii ni namna nyingine ya kusema kuwa uvamizu utakuwa wa mkali na usiotarajiwa.
|
|
|
|
# Je nani aliye kama mimi, na nani ataniita?
|
|
|
|
Bwana anatumia swali kuonesha udogo wa mwanadamu. "Hakuna aliye kama mimi, hakuna wa kuniamrisha."
|
|
|
|
# kuita
|
|
|
|
"kumuamrisha mtu aje"
|
|
|
|
# Ni mchungaji gani atakayeweza kuniamrisha mimi?
|
|
|
|
Bwana anatumia swali kuonesha kuwa hakuna wa kumshinda.
|