16 lines
416 B
Markdown
16 lines
416 B
Markdown
# Ikiwa nitakujibu, je hautaniua?
|
|
|
|
Yeremia alitumia swali kuonesha uhakika wake kuwa mfalme atamuua endapo atasema ukweli.
|
|
|
|
# Kama Bwana aishivyo, yeye aliyetuumba
|
|
|
|
Mfalme alizungumza haya ili kuonesha kuwa anayokwenda kuyasema ni kweli.
|
|
|
|
# Mimi sita ... kutia katika mikono ya watu hawa
|
|
|
|
"mikono" inamaanisha nguvu ya kutawala. "Sitawaruhusu ... watu hawa kukukamata"
|
|
|
|
# wanatafuta maisha yako
|
|
|
|
"wanajaribu kukuua"
|