12 lines
409 B
Markdown
12 lines
409 B
Markdown
# Kila mtu aache uovu wake na kutenda matendo mema.
|
|
|
|
Maneno haya yote yana maana moja na yameunganishwa kwa ajili ya kuweka mkazo.
|
|
|
|
# Kuifuata miungu mingine na tena kuiabudu.
|
|
|
|
Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja, yameunganishwa pamoja kwa ajili ya kuweka mkazo.
|
|
|
|
# Bado hamtanisikiliza wala kutegaa masikio yenu kwangu.
|
|
|
|
Maneno haya yana maana moja na yameunganishwa kwa ajili ya kuweka mkazo au msisitizo.
|