|
# Miji ya Yuda.
|
|
|
|
"Watu kutoka miji ya Yuda."
|
|
|
|
# Usipunguze neno lolote!
|
|
|
|
"Usiache kufanya kitu chochote nilichokuambia!"
|
|
|
|
# Ili kwamba nighairi majanga ninayotaka kuyafanya.
|
|
|
|
Haya ni maelekezo yenye masharti. Kama Yuda watatubu, basi Mungu hatawaangamiza, bali atawaponya.
|