24 lines
469 B
Markdown
24 lines
469 B
Markdown
# Wachungaji
|
|
|
|
Hii ni kumbukumbu kwa viongozi wa Israeli.
|
|
|
|
# Gaagaa katika ardhi
|
|
|
|
Hii ni ishara ya huzuni, maombolezo au dhiki.
|
|
|
|
# Suku yako
|
|
|
|
Kwa muda wako" au "wakati wa wewe"
|
|
|
|
# Utaanguka kama kondoo waliochaguliwa.
|
|
|
|
"Wewe utaangamizwa kwa urahisi"
|
|
|
|
# Mtumwa wa wachungaji waliokwenda
|
|
|
|
Hakutakuwa na nafasi ya kujificha ili kuepuka hukumu hii au uharibifu.
|
|
|
|
# Yahweh anayaharibu malisho yao
|
|
|
|
Hukumu ya Mungu ni juu ya viongozi wote na watu, hakuna mtu atakayeokolewa.
|