|
# Tazama
|
|
|
|
Neno "kuona" hapa linaongeza mkazo kwa kifuatacho. AT "kweli"
|
|
|
|
# hili ni tamko la Bwana
|
|
|
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
|
|
|
|
# ambapo hawatasema tena
|
|
|
|
"wakati watu hawatasema tena"
|
|
|
|
# Kama Bwana aishivyo
|
|
|
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 12:16.
|