24 lines
681 B
Markdown
24 lines
681 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Haya ni maneno ya BWANA juu ya watu wa Yuda
|
|
|
|
# Kwa kuwa sauti ya kilio imesikika Sayuni
|
|
|
|
"Watu wanalia kwa sauti Yerusalemu"
|
|
|
|
# Jinsi tulivyoharibiwa
|
|
|
|
"Tunasikitika sana"
|
|
|
|
# Tumeaibishwa sana, kwa kuwa tumeitelekeza nchi tangu walipoangusha nyumba zetu
|
|
|
|
"aibu yetu ni kubwa, kwa sababu adui wameharibu nyumba zetu, na tulipaswa kuiacha nchi ya Israeli"
|
|
|
|
# sikieni neno la BWANA zingatieni ujumbe unaokuja toka kinywani mwake.
|
|
|
|
Sentensi hizi mbili zinasisitiza amri ya kusikiliza kile ambacho BWANA anasema.
|
|
|
|
# Kisha wafundisheni binti zenu wimbo wa maombolezo, na kila mwanamke wa jirani wimbo wa kilio.
|
|
|
|
Kisha wafundisheni watu wengine jinsi ya kuomboleza."
|