40 lines
777 B
Markdown
40 lines
777 B
Markdown
# Lakini nimejazwa
|
|
|
|
Anayeongea na Yeremia
|
|
|
|
# nimejazwa na hasira za BWANA
|
|
|
|
"nina hasira sana pamoja na BWANA."
|
|
|
|
# Nimechoka kuizuia
|
|
|
|
"Nimechoka kutoisema hasira ya BWANA"
|
|
|
|
# Imwage mbele ya watoto mitaani
|
|
|
|
"watoto mitani" inamaanisha watoto wote katika mji. "Iseme hasira yangu kwa watoto wa mji"
|
|
|
|
# Kwa kuwa kila mume atachukuliwa pamoja na mke wake
|
|
|
|
"Kwa sababu adui watakamata mume na mke wake."
|
|
|
|
# kila mzee mwenye miaka mingi
|
|
|
|
"mwenye miaka mingi" inamaanisha "mzee sana" "kila mzee sana"
|
|
|
|
# watapewa watu wengine
|
|
|
|
"itakuwa mali ya mtu mwingne"
|
|
|
|
# mashamba yao na wake zao pamoja
|
|
|
|
"mashamba yao na wake zao pamoja"
|
|
|
|
# Kwa kuwa nitaangamiza wakazi wa mji kwa mkono wangu
|
|
|
|
"Kwa kuwa nitatumia nguvu zangu kuwaangamiza watu wanaoishi katika nchi"
|
|
|
|
# asema BWANA
|
|
|
|
Tazama 1:7
|