32 lines
801 B
Markdown
32 lines
801 B
Markdown
# Kateni miti yake
|
|
|
|
"Ikateni miti yake" BWANA anawaambia lile jeshi ambalo litaivamia Yerusalemu.
|
|
|
|
# vifusi vya kuitekea
|
|
|
|
"vifus." Hivi ni vifisi vya takataka ambavyo vitawawezesha wanajeshi kuziangamiza kuta za Yerusalemu
|
|
|
|
# kwa sababu umejaa ukandamizaji
|
|
|
|
"kwa sababu watu wake wanaoneana wao kwa wao"
|
|
|
|
# Kama vile kisima kitoavyo maji, vivyo hivyo mji huu uzaavyo uovu
|
|
|
|
Kama vile kisima kinavyobaki na maji, Yerusalemu imebaki na uovu, hata kama BWANA anaiadhibu.
|
|
|
|
# uharibifu na jeuri vimesikika kwake
|
|
|
|
"Ninasikia uharibifu na ujambazi kwake."
|
|
|
|
# Mateso na jeuri viko mbele yangu daima
|
|
|
|
Daima ninaona ugonjwa na mateso."
|
|
|
|
# Uadhibishwe, ee Yerusalelmu
|
|
|
|
"Jifunzeni kutoka kwenye hiyo adhabu yenu, enyi watu wa Yerusalemu.
|
|
|
|
# nchi isiyokariwa na watu
|
|
|
|
"nchi ambayo hakuna watu wanaoishi ndani yake"
|