44 lines
739 B
Markdown
44 lines
739 B
Markdown
# Kwa sababu ume
|
|
|
|
Kiwakilshi cha "u" kinawakilisha watu wa Israeli
|
|
|
|
# asema hivi
|
|
|
|
Tazama 5:10
|
|
|
|
# tazama
|
|
|
|
"Sikiliza"
|
|
|
|
# nataka kuweka maneno yangu kwenye kinywa chako.. Yatakuwa kama moto
|
|
|
|
"Nataka kutengeneza maneno amabyo wewe utayasema kwa kwa niaba yangu kwa moto"
|
|
|
|
# katiak kinywa cahcako
|
|
|
|
kiwakilishi cha "chako" kinamaanisha Yeremia."wewe uyaseme"
|
|
|
|
# watu hawa
|
|
|
|
watu wa Israeli
|
|
|
|
# kwa kuwa utawaramba
|
|
|
|
Kwa sababu utawaharibu watu wa Israeli utakaposema maneno yangu."
|
|
|
|
# dhidi yenu
|
|
|
|
"kuwashambulia ninyi"
|
|
|
|
# nyumba ya Israeli
|
|
|
|
Tazama 2:4
|
|
|
|
# ni taifa linalodumu, ni taifa la kale!
|
|
|
|
ni taifa la miaka mingi na lenye kuvumilia
|
|
|
|
# ni taifa ambalo lugha yake hamuijui, wala hamutaelewa wasemacho
|
|
|
|
"Ni taifa ambalo lugha yake hamutielewa."
|