52 lines
736 B
Markdown
52 lines
736 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yeremia anawaambia atu wa Yerusalemu.
|
|
|
|
# Kimbieini mkapite
|
|
|
|
"Fanyeni haraka"
|
|
|
|
# kama mtaweza kumpata
|
|
|
|
"tazameni mkatafute"
|
|
|
|
# viwanja vayke
|
|
|
|
eneo wazi kubwa ambapo watu hukusanyika
|
|
|
|
# kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja
|
|
|
|
"kama mtapata hata mtu mmoja"
|
|
|
|
# anayetenda kwa haki
|
|
|
|
"anayefanya kile kilicho sahihi"
|
|
|
|
# hata kama wana
|
|
|
|
Kiwakiishi "wa" kinawakilisha watu wa Yerusalemu
|
|
|
|
# Kama BWANA aishivyo
|
|
|
|
Tazama 4:1
|
|
|
|
# macho yako hayatazami uaminifu
|
|
|
|
"unataka watu wawe waaminifu"
|
|
|
|
# unawapia watu, lakini hawasikii maumivu
|
|
|
|
"unawaadhibu watu lakini bado, hawasikii"
|
|
|
|
# umewaangamiza kabisa
|
|
|
|
"umewateketeza kabisa"
|
|
|
|
# kuwa waadilifu
|
|
|
|
"kujifunza"
|
|
|
|
# Wanafanya nyuso zao kuwa ngumu kama mwamba
|
|
|
|
"wanakuwa wasumbufu sana"
|