937 B
937 B
Kwa kuwa nilivunja nira yenu mliyokuwa nayo wakati wa kale; Nilivichana vifungo vyako kutoka kwako Lakini bado ulisema, 'Sitamtumikia!'
"Hapo zamani niliwakomboa kutoka utumwani, lakini mlikataa kuniheshimu mimi!"
tangu ulipopiga magoti katika kila kilima na kuusogelea kila mti wenye majani mabichi, enyi makahaba.
Mlizipigia magoti sanamu na kuziabudu kama mwanamke mzinzi anavyomfanyia mume wake"
Vifungo
ni minyoror inayotumika kumfunga mtu au mnyama
kusogelea
kuwa chini
Lakini mimi mwenyewe niliwapanda kama mzabibu, mbegu iliyokamilika.
Mimi, BWANA, ndiye nilikuanzisha kwa mwanzo mwema."
niliwapanda
kuweka kwenye ardhi ili kukua
na kuwa mzabibu usiofaa na mzabibu pori
"umekuwa kama maozea, divai isiyofaa"
usiofaa
msaliti, mwasi
dhambi yako ni madoa
"bado una hatia ya kutenda dhambi
madoa
madoa yanawakilisha ukumbusho wa mara kwa mara wa dhambi ya Waisraeli
Asema BWANA
Tazama 1:17