32 lines
922 B
Markdown
32 lines
922 B
Markdown
# jiji la Yerusalemu na kulichukua
|
|
|
|
Hapa "jiji" lina maanisha watu. "watu wanaoishi Yerusalemu na kuwashinda"
|
|
|
|
# Walishambulia
|
|
|
|
Walishambulia jiji linaliwakilisha watu wa mji. "Walishambulia watu wa jiji"
|
|
|
|
# kwa makali ya upanga
|
|
|
|
Hapa "Upanga" inamaanisha upanga au silaha nyingine inayotumiwa na askari vitani. "na upanga wao" au "na silaha zao"
|
|
|
|
# watu wa Yuda walikwenda chini kupigana
|
|
|
|
Ilikuwa kawaida kutumia neno chini ikiwa ina maanisha kusafiri toka Yerusalemu. "Watu wa Yuda walikwenda kupigana"
|
|
|
|
# Negebu
|
|
|
|
Kusini mwa jangwa la Yuda
|
|
|
|
# Milima
|
|
|
|
vilima vilivyo chini ya mlima.
|
|
|
|
# jina la Hebroni hapo awali ilikuwa Kiriath-arba
|
|
|
|
Hii ni taarifa. baadhi ya watu ambao walisoma kitabu hiki mwanzoni yamkini walisikia juu ya Kiriath-arba lakini hawakufahamu kuwa ilikuwa ni mji wa Hebroni.
|
|
|
|
# Sheshai, Ahimani na Talmai
|
|
|
|
Haya ni majina ya viongozi watatu wa Kikanaani wa Hebroni. Kila kiongozi anawakilisha jeshi lake.
|