40 lines
755 B
Markdown
40 lines
755 B
Markdown
# Taarifa kwa Ujumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumjibu cssdved Habakuki. Yeye anarejerea kwa Wakaldayo ingawa kama wako mtu mmoja.
|
|
|
|
# ongeza sumu yako
|
|
|
|
"ongeza sumu yako kwenye kinywaji"
|
|
|
|
# Utavimbiwa na aibu zaidi kuliko utukufu
|
|
|
|
"Kama unatafuta utukufu mkuu, Mungu ataleta juu yake aibu kuu"
|
|
|
|
# Wewe
|
|
|
|
umoja
|
|
|
|
# Kuinywa
|
|
|
|
Kunywa kikombe cha sumu
|
|
|
|
# Kikome cha mkono wa kuume wa Yahwe kitakugeukia wewe
|
|
|
|
"Kama Yahwe amehukumu mataifa mengine na uweza wake wote, hivyo atakuhukumu wewe na uweza wake wote"
|
|
|
|
# Kikombe
|
|
|
|
Divai iliyotiwa sumu
|
|
|
|
# Mkono wa kuume
|
|
|
|
mkono wa nguvu zaidi
|
|
|
|
# utakuja katika hali yake kukugeukia wewe
|
|
|
|
"utakuja kwako kama ulivyofanya kwa wengine"
|
|
|
|
# Aibu itafunika heshima yako
|
|
|
|
"kila mmoja ataona aibu yako na hakuna atakayeona heshima yako"
|