697 B
697 B
Taarifa kwa Ujumla:
Yahwe anamjibu Habakuki.
Tunza maono haya, na uandike kwa dhahiri kwenye vibao
Kauli zote mbili zinasema kitu kile kile katika njia mbili tofauti. Badilisha tafsiri: "Andika kwa wazi juu vibao ambacho Mungu anakwenda kukwambia"
vibao
hivi ni vipande bapa vya mawe au udongo mfinyanzi ambao uliotumika kwaajili ya kuandika.
yule anayesoma anaweza kukimbia
Hii inaweza kumaanisha 1) mtu fulani atakimbia pamoja na vibao na kuwasomea au 2) mtu yeyote ambaye anayesoma ataweza kusoma kwa urahisi
na mwisho kuongea
kile kilichoandikwa kitatokea au kuja kuwa halisi.
na hakitakawia
Maana zinazowezekana 1) "na hakitasubiri" au 2) "na hakitakuja kwa taratibu"