550 B
550 B
Wayahudi
Inamaanisha Wayahudi viongozi.
lakini mpango wao ukajulikana na Sauli
"Lakini mtu mmoja akawaambia mpango wao kwa Sauli" au "Lakini Sauli akafahamu mipango yao juu yake"
Wakamvizia mlangoni
Mji huu ulikuwa na ukuta uliouzunguka.Watu waliingia na kutoka katika mji huo kupitia mlango.
Wanafunzi wake
Watu walioamini ujumbe wa Sauli kuhusu Yesu na walifuatilia mafundisho yake
wakamshusha kupitia ukutani, wakamtelemsha chini katika kapu
Kwa kutumia kamba walimshusha Sauli katika kikapu kikubwa kupitia tundu katika ukuta.