663 B
663 B
Sentensi unganishi
Anania anaenda katika nyumba ambapo Sauli anaishi. Baada ya kuponywa , simulizi inabadilika kutoka kwa Anania kwenda kwa Sauli.
Anania akaenda, akaingia mle nyumbani;
Anania likwenda kwenye na baada ya kuipata ile nyumba mahali alipokuwepo Sauli akaingia ndani.
Kumwekea mikono
Anania aliweka mikono yake juu ya Sauli
amenituma ili upate kuona na kujazwa roho mtakatifu
"Amenituma ili upate kuona tena na Roho Mtakatifu akujaze"
Kitu kama magamba
"Kitu kilitokea kama magamba ya samaki na kuanguka toka machoni"
akapata kuona
Alikuwa na uwezo wa kuona tena
Aliinuka na akabatizwa
"Sauli aliiuka na Anania akambatiza"