579 B
579 B
Taarifa kwa ujumla
Mfalme Sulemani anaeleza sababu ya Yoabu kuuawa
BWANA na amrudishie damu yake kichwani mwake
"Neno "mwake" linamaanisha Yoabu. "Damu" linamaanisha hatia.
wasio na hatia na wema kuliko yeye
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile na yanatia msisitizo kuwa Abineri na Amasa walikuwa wanaume wema kuliko Yoabu.
Yoabu kichwani pake na kwenye kichwa cha uzao wake
Neno "kichwa " linatumika kumaanisha mtu kamili
na nyumba yak,e na kwenye kiti chake cha enzi
Neno "nyumba" na "kiti cha enzi" linamaanisha uzao wa Daudi na utawala wa Daudi."