28 lines
546 B
Markdown
28 lines
546 B
Markdown
|
# amtunzie
|
||
|
|
||
|
"kuangaliza" au "kuweka salama"
|
||
|
|
||
|
# kama itaibiwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# mwizi
|
||
|
|
||
|
mtu anaye iba
|
||
|
|
||
|
# kama mwizi akipatikana
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# kuja mbele za waamuzi
|
||
|
|
||
|
"kuja mbele za waamuzi ili waweze jua kama"
|
||
|
|
||
|
# ameeka mkono wake kwenye mali za jirani yake
|
||
|
|
||
|
Huu ni msemo. Kama namna ya kusema hivi katika lugha yako, waweza sema hapa.
|
||
|
|
||
|
# malalamiko ya pande zote lazima zije kwa waamuzi
|
||
|
|
||
|
Waamuzi lazima wasikilize watu wote wawili wanao dai vitu ni vyao na waamuzi wataamua nani ana hatia.
|