16 lines
381 B
Markdown
16 lines
381 B
Markdown
|
# Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi
|
||
|
|
||
|
"Mkubaliane ninyi kwa ninyi" au "muishi kwa umoja ninyi kwa ninyi"
|
||
|
|
||
|
# Msifikiri kwa njia ya kujivuna
|
||
|
|
||
|
"Msifikiri kuwa ninyi ni bora sana kuliko wengine"
|
||
|
|
||
|
# Muwakubali watu wa hali ya chini
|
||
|
|
||
|
"Wakaribisheni watu mnaoona hawana umuhimu"
|
||
|
|
||
|
# Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe
|
||
|
|
||
|
"Msifikiri kuwa ninyi mna hekima nyingi kuliko mtu yeyote yule"
|