sw_tn/rom/07/intro.md

32 lines
1.2 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Warumi 07 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:26:55 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
### "Au hujui"
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
Paulo anatumia maneno haya kujadili mada mpya, kwa kuunganisha maneno yanayofuata na mafundisho ya kwanza.
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
### "Tumekuwa huru kutoka sheria"
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Paulo anaelezea kwamba sheria ya Musa haifai tena. Ingawa hii ni kweli, kanuni zisizo na wakati kwenye sheria zinaonyesha tabia ya Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
## Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
### Ndoa
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Maandiko ya kawaida hutumia ndoa kama mfano. Hapa Paulo anaitumia kuelezea jinsi kanisa linavyohusiana na sheria ya Musa na sasa kwake Kristo. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:26:55 +00:00
### Mwili
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Hili ni suala gumu. Kuna uwezekano kuwa "Mwili" ni mfano ya asili yetu ya dhambi. Paulo hafundishi kwamba miili yetu ya kimwili ni dhambi. Inaonekana kuwa Paulo anafundisha kwamba wakati wote Wakristo wanaishi ("katika mwili"), tutaendelea kutenda dhambi. Lakini asili yetu mpya itapigana dhidi ya asili yetu ya zamani. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[Romans 07:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:26:55 +00:00
__[<<](../06/intro.md) | [>>](../08/intro.md)__