20 lines
657 B
Markdown
20 lines
657 B
Markdown
|
# akaweka kifuko kifuani mwa Aroni
|
||
|
|
||
|
"Musa aliweka kifuko juu ys |Aroni"
|
||
|
|
||
|
# kifuko kifuani..kiremba...bamba la dhahabu... taji takatifu
|
||
|
|
||
|
Haya yote ni mavazi maalum ambayo Yahweh aliwaamru watu kutengeneza kwa ajili ya makuhani.
|
||
|
|
||
|
# Urimu na Thumimu
|
||
|
|
||
|
Hivi havikujulikana wazi vilikuwa ni vitu gani. Vilikuwa vitu ambavyo kwa kuhani alivitumia kwa namna fulani kupambanua mapenzi ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kiremba
|
||
|
|
||
|
kifuniko cha kicho cha mtu ambapo kilikuwa ni kitambaa cha nguo kirefu kilichofungwa kukizunguka kichwa
|
||
|
|
||
|
# bamba la dhahabu; liwe taji takatifu
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili hurejelea kitu kile kilekile. Lilikuwa ni mamba la dhahabu tupu lililoambatanishwa na kiremba.
|