40 lines
662 B
Markdown
40 lines
662 B
Markdown
|
# Ikatokea kwamba
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanaonesha umuhimu wa tukio katika simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Wao waliposikia
|
||
|
|
||
|
Neno "wao" linamaanisha wakuu.
|
||
|
|
||
|
# Maneno haya yote
|
||
|
|
||
|
maneno yote ambayo Baruku aliyasoma kwa nguvu toka kwenye kitabu.
|
||
|
|
||
|
# Uliyaandikaje
|
||
|
|
||
|
"uliyaandika kwa namna gani"
|
||
|
|
||
|
# Aliyosomewa na Yeremia
|
||
|
|
||
|
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
|
||
|
|
||
|
# Kusema
|
||
|
|
||
|
Yeremia alizungumza kwa nguvu ili Baruku aandike maneno yake.
|
||
|
|
||
|
# kuyaandika na wino
|
||
|
|
||
|
"alitumia wino kuandika"
|
||
|
|
||
|
# wino
|
||
|
|
||
|
Wino mweusi unaotumika kuandikia
|
||
|
|
||
|
# Na Yeremia pia
|
||
|
|
||
|
"Yeremia pia anatakiwa ajifiche."
|
||
|
|
||
|
# Mko wapi
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanawaelezea Baruku na Yeremia.
|