28 lines
715 B
Markdown
28 lines
715 B
Markdown
|
# hili ni tamko la Bwana
|
||
|
|
||
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
|
||
|
|
||
|
# wavuvi wengi.....wawindaji wengi
|
||
|
|
||
|
Bwana anawafananisha watu ambao watawachukua Waisraeli kuwa mateka kwa watu wenye ujuzi wa kunyang'anya mawindo yao.
|
||
|
|
||
|
# macho yangu yapo juu ya njia zao zote
|
||
|
|
||
|
"Ninaangalia kila kitu wanachofanya"
|
||
|
|
||
|
# hawawezi kujificha mbele yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "wao" linaweza kutaja kwa watu au kwa matendo yao. AT "hawawezi kujificha njia zao kutoka kwangu" au "naona yote wanayofanya"
|
||
|
|
||
|
# Uovu wao hauwezi kufichika mbele ya macho yangu
|
||
|
|
||
|
"Naona dhambi zao zote"
|
||
|
|
||
|
# kujaza urithi wangu na sanamu zao za machukizo
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kinaelezea "uovu na dhambi" ule ambao watu walifanya.
|
||
|
|
||
|
# urithi wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu nchi ya Israeli.
|