sw_tn/rom/11/33.md

268 B

Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu!

"Jinsi zinavyoshangaza faida za hekima ya Mungu na maarifa"

Hazichunguziki hukumu zake, na njia zake ni zaidi ya kugundua

Hatuwezi kabisa kuelewa mambo ambayo anayaamua na kujua njia anazotumia juu yetu.