forked from WA-Catalog/sw_tn
678 B
678 B
Kauli unganishi:
Huu ni mwisho wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa makanisa saba.
Yeye ashindaye
hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"
ukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi
Kukaa katika kiti cha enzi humaanisha kutawala. "kutawala pamoja nami" au "kuketi na mimi katika kiti changu cha enzi na kutawala na mimi"
Baba yangu
Hili ni jina muhimu la Mungu linaloeleza mahusiano kati ya Mungu na Yesu.
Mwenye sikio asikie
Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asikilize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"