forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
409 B
Markdown
20 lines
409 B
Markdown
# Wahamiaji wa jeshi hili la watu wa Israeli
|
|
|
|
"Wale wa jeshi la watu wa Israeli ambao walikuwa uhamishoni"
|
|
|
|
# Jeshi
|
|
|
|
Kundi kubwa la watu
|
|
|
|
# Zarefati
|
|
|
|
Hili ni jina la mji wa Foinike huko pwani ya Mediterranean kati ya Tiro na Sidoni.
|
|
|
|
# Sefaradi
|
|
|
|
Hii ndiyo jina la mahali ambako eneo halijulikani.
|
|
|
|
# waokoaji
|
|
|
|
Hii inahusu viongozi mbalimbali wa kijeshi wa Israeli ambao Mungu atatumia kushinda taifa la Edomu
|