sw_mat_text_reg/17/22.txt

1 line
185 B
Plaintext

\v 22 Wakati wakiwa bado Galilaya, Yesu akawaambia Wanafunzi wake, "Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa watu. \v 23 Na watamwua, na siku ya tatu atafufuka." Wanafunzi walihuzunika sana.