sw_mat_text_reg/11/13.txt

1 line
179 B
Plaintext

\v 13 Kwa kuwa manabii na sheria, ikamelcuwa wakitabiri mpaka kwa Yohana. \v 14 Na kamamko tayari kukubali, huyu ni Eliya, yule ajaye. \v 15 Aliye na masikio ya kusikia na asikie.