sw_mat_text_reg/09/12.txt

1 line
268 B
Plaintext

\v 12 Yesu aliposikia hayo, naye alisema " Watu walio na afya nzuri hawahitaji mganga, isipokuwa wale walio wagonjwa. \v 13 Inawapasa muende mkajifunze maana yake, "Ninapenda rehema na siyo dhabihu" Kwa kuwa nilikuja, si kwa wenye haki kutubu, lakini kwa wenye dhambi.