sw_mat_text_reg/09/01.txt

1 line
249 B
Plaintext

\v 1 Yesu akaingia kwenye boti, akavuka na akafika kwenye mji alipokuwa anaishi. \v 2 Tazama, wakamletea mtu aliyepooza amelazwa kwenye godoro. alipooiona imani yao, Yesu akamwambia mtu aliyepooza, "Mwanangu, uwe na furaha, Dhambi zako zimesamehewa"