sw_mat_text_reg/08/30.txt

1 line
365 B
Plaintext

\v 30 Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likichunga, hapakuwa mbali sana walipokuwa, \v 31 pepo waliendelea kulalamika kwa Yesu na kusema. "Ikiwa utatuamuru kutoka, tupeleke kwenye kundi la nguruwe." \v 32 Yesu akawaambia, "Nendeni!" Pepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe. Na tazama, kundi lote likashuka kutoka mlimani kuteremkia baharini na lote likafia majini.