sw_mat_text_reg/06/30.txt

1 line
291 B
Plaintext

\v 30 Ikiwa Mungu anayavalisha majani katika mashamba, ambayo yadumu siku moja na kesho yanatupwa katika moto, je ni kwa kiasi gani atawavalisha ninyi, ninyi wenye imani ndogo? \v 31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi nakusema, 'Je tutakula nini?' au "Je tutakunywa nini?" au "Je tutavaa nguo gani?"