sw_mat_text_reg/06/19.txt

1 line
331 B
Plaintext

\v 19 Usijitunzie hazina yako mwenyewe hapa duniani, ambapo nondo na kutu huharibu, ambapo wezi huvunja na kuiba. \v 20 Badala yake, jitunzie hazina yako mwenyewe mbinguni, ambapo wala nondo wala kutu hawezi kuharibu, na ambapo wezi hawawezi kuvunja na kuiba. \v 21 Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakapokuwepo pia.