sw_mat_text_reg/04/12.txt

1 line
219 B
Plaintext

\v 12 Basi Yesu aliposikia kuwa Yohana amekamatwa, aliondoka mpaka Galilaya. \v 13 Aliondoka Nazareti alienda na kuishi Kaperanaumu, iliyoko kandokando na Bahari ya Galilaya, mipakani mwa majimbo ya Zabuloni na Naftali.