sw_mat_text_reg/01/09.txt

1 line
249 B
Plaintext

\v 9 Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia. \v 10 Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia. \v 11 Yosia alikuwa baba wa Yekonia na kaka zake wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli.