sw_mat_text_reg/01/22.txt

1 line
221 B
Plaintext

\v 22 Yote haya yalitokea kutimizwa kile kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, \v 23 "Tazama, bikira atachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, na watamwita jina lake Imanueli"-- maana yake, "Mungu pamoja nasi."