sw_mat_text_reg/04/10.txt

1 line
223 B
Plaintext

\v 10 Kisha Yesu akamwambia, "Nenda zako utoke hapa, Shetani! Kwa maana imeandikwa, 'Yakupasa kumwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.'" \v 11 Kisha ibilisi akamwacha, na tazama, malaika wakaja wakamtumikia.