sw_mat_text_reg/03/16.txt

1 line
276 B
Plaintext

\v 16 Baada ya kuwa amebatizwa, mara Yesu alitoka kwenye maji, na tazama, Mbingu zikafunguka kwake. Na alimuona Roho wa Mungu akishuka kwa mfano wa njiwa na kutulia juu yake. \v 17 Tazama, sauti ilitoka mbinguni ikisema, "Huyu ni mwanangu mpendwa. Ninaye pendezwa sana naye.''