sw_mat_text_reg/22/45.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 45 Kama Daudi anamwita Kristo "Bwana," jinsi gani atakuwa mtoto wake?" \v 46 Hakuna aliyeweza kumjibu neno tena, na hakuna aliyethubutu tena kumwuliza maswali zaidi tangu siku hiyo na kuendelea.