sw_mat_text_reg/22/41.txt

1 line
192 B
Plaintext

\v 41 Na Mafarisayo walipokuwa bado wamejikusanya pamoja, Yesu aliwauliza swali. \v 42 Akisema, "J! e, Mwafikiri nini juu ya Kristo? Yeye ni Mwana wa nani?" Nao wakamjibu, "Ni mwana wa Daudi."