sw_mat_text_reg/08/26.txt

1 line
258 B
Plaintext

\v 26 Yesu akawaambia, "kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo?" Ndipo akaamka na kuukemea upepo na bahari. Kisha kukawa na utulivu mkuu, \v 27 wanaume wakashikwa na mshangao wakasema, "Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata pepo na bahari vinamtii yeye?"