sw_mat_text_reg/08/23.txt

1 line
288 B
Plaintext

\v 23 Yesu alipoingia kwenye mtumbwi, wanafunzi wake wakamfuata mtumbwini. \v 24 Tazama, ikainuka dhoruba kuu juu ya bahari, kiasi kwamba mtumbwi ulifunikwa na mawimbi. Lakini Yesu alikuwa amelala. \v 25 Wanafunzi wakaja kwake na kumwamsha wakisema, "Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kufa!"