sw_mat_text_reg/08/18.txt

1 line
343 B
Plaintext

\v 18 Kisha Yesu alipoliona kusanyiko limemzunguka, alitoa maelekezo ya kwenda upande mwingine wa Bahari ya Galilaya. \v 19 Kisha mwandishi akaja kwake na kumwambia, "Mwalimu, nitakufuata popote utakapoenda." \v 20 Yesu akamwambia, "Mbweha wana mashimo, na ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana sehemu ya kulaza kichwa chake."