sw_mat_text_reg/08/11.txt

1 line
382 B
Plaintext

\v 11 Ninawambieni, wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoja na Abrahimu, Isaka, na Yakobo, katika ufame wa mbinguni. \v 12 Lakini watoto wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno." \v 13 Yesu akamwambia Jemadari, "Nenda! Kama ulivyokwisha amini, na itendeke hivyo kwako". Na mtumishi aliponywa katika saa hiyo.