sw_mat_text_reg/08/05.txt

1 line
207 B
Plaintext

\v 5 Wakati Yesu alipofika Kapernaumu, Jemedari akaja kwake akamuuliza \v 6 akisema, "Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza na ana maumivu ya kutisha." \v 7 Yesu akamwambia, "Nitakuja na kumponya".