sw_mat_text_reg/08/01.txt

1 line
301 B
Plaintext

\v 1 Wakati Yesu aliposhuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata. \v 2 Tazama, mkoma alikuja na kusujudu mbele yake, akasema, "Bwana, ikiwa uko tayari, unaweza kunifanya niwe safi". \v 3 Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, "Niko tayari. Uwe msafi." Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.