sw_mat_text_reg/07/07.txt

1 line
353 B
Plaintext

\v 7 Omba, nawe utapewa. Tafuta, nawe utapata. Bisha hodi, na wewe utafunguliwa. \v 8 Kwa yeyote anayeomba, hupokea. Na kwa yeyote anayetafuta, hupata. Na kwa mtu ambaye anayebisha hodi, atafunguliwa. \v 9 Au kuna mtu miongoni mwenu ambaye, ikiwa mtoto wake amemwomba kipande cha mkate atampa jiwe? \v 10 Au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka?