sw_mat_text_reg/06/32.txt

1 line
324 B
Plaintext

\v 32 Kwa kuwa mataifa wanatafuta mambo haya, na Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnahitaji hayo. \v 33 Lakini kwanza tafuteni ufalme wake na haki yake na haya yote yatakabidhiwa kwako. \v 34 Kwa hiyo, usione shaka kwa ajili ya kesho, kwa kuwa kesho itajishughulikia yenyewe. Kila siku inatosha kuwa na tatizo lake yenyewe.